Hemedy PhD, jina lake rasm anaitwa (HEMEDY SULEIMAN)
MSANII HUYO ANATOKEA TANGA.
HEMEDY ,NI MWINGIZAJI NA PIA NI MWIMBAJI SO NI MWANAMUZIKI AMEHIT NA WIMBO KAMA ITABAKI STORY, ONLY YOU.
NA NYIMBO KIBAO.
ILA POINT YA MSINGI NAHITAJI NITOE SOMO KWA #bongoMovie.
Vipaji hawavioni na kama wana vijana wa naona kwa finyu sana.
Bongo movie nimekuwa ngumu kutokana na hali ya uchumi bia kwa wawekezaji katk sekta hiyo.
Afu KUIGIZA kwa bongo kama comedian.
So wasanii hawatake serious.
Baadh wanajitahid ila wengine wanahuza sura tuu.
MTU akiona amejibland amekuwa head some naye unahitaji akaigize.
Kwenda KUIGIZA anaigiza ushubwanda tuu.
Hakuna lolote.
#PHD ANAJITAHIDI BUT BADO ...
BORA UKOMAEE KWA MUZIKI KAKA.
USHAURI WANGU HUO.
KWA MAONO YANGU.
BY.
.
KIMODO MSAFI INTERTAINMENT tucheki kwenye mitando ya kijamii kama Facebook/msafi tv ,Instagram/msafitvonline. You Tube; Msafimediatz EMAIL;msafitvonline@gmail.com Tunatoa HUDUMA ZA ©GRAPHICS & DESIGN. COVER PHOTO,VIDEO SHOOTING. MUSIC PROMOTION. HUDUMA YA TV IPO ONLINE ANY TIME. TUCHECK +255783862565.PIA; TUNARUSHA MATANGAZO YA AINA YOTE YALIYOKIDHI VIGEZO. Kwa msaada zaidi unaweza kutupigia cm moja kwa moja. Kama una matukio tucheki whtsapp. Asante.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
-
Siku zote(kauli ya mwanamke) Tamaambele mauti nyuma so sioni kama menina amedharishwa afu MWIJAKU-Alitumia fedha so ili ampate MENINA. ...
-
Muziki mzuri kwa damu WATOTO . Wanaofanya vizuri vizuri. *Dogo sillah ft khan sillah. Asante. Endelea kuwasiliana na Msafi media. 0...
-
Jinsi ya kumkojolesha demu wako. Zipo njia tofauti. Unaweza ukaanza na hii Hapa chapu. Tazama video hapo.
No comments:
Post a Comment