Haya sasa Mr.konk amua kuomba msamaha mwenye we alooo akili zetu muda mwingine zinachanga Duniani inaenda spend ya hajjabu sana.
Hijabu hatuzioni wadada wa kiislamu wakizivaa tuna baki kuziona madukani tu.
Wanaosema tusisapoti ujinga sasa Nani kasaport ujinga kuna mambo MENGI yanakwenda less.
Haya ujumbe kidogo(TUSIWE BENDERA FUATA UPEPO)
No comments:
Post a Comment