🌍 Nabii Suleiman kutokana na utukufu wake mwenyezi mungu alimpa mamalaka ya kujenga jengo kubwa lakutunza zile amri kumi za mungu. Kama uzijuavyo.
Mwenyezi alimpatia nabii suleimani siri kubwa sana na ndani ya siri hiyo nikuwa kila binadamu angeweza kuijua angekuwa na maisha ambayo sio ya kawaida na kufanya mambo malubwa.
Kwasasa siri hiyo imedondoka kwenye mikono isiyo salaam kwa #freemasons.
Hawa watu sio wazuri waowanajiitaa ni wajenzi Wa dunia.
Ukiangal watu wanao jiunga Freemason kwanini wanakuwa na Mali.nyingi pia wanaonekana sio watu Wa kawaida?
Na ilikuwaje Freemasonry wanapata siri hizo na wanaanza kuzitumia(nabii Suleiman alimpatia mkandalasi mmoja aliyeitwa(Abraham ili ajenge jengo Ilo lakutunza amri kumi za mungu akiwa anajenga jengo hilo LA ajabu(ndugu zake walitka kujua na kupata hiyo siri
Kilichofuata waliamua kumuua ndugu yake ibrahm uli wapate siri waweze kuitawala Dunia .
Walifanikiwa kumuua na hiyo siri ya ajabu wakaichukua na kuanza kuitumia ndivyo sivyooo
Ooooh dinia inamengi zaidi ngoja uyajuwe hayo tu.
Mimi nimeishia hapo ukihitaji zaidi fiatia msafitvonline on you tube.
Written by @ahmedMajid
0783862565
No comments:
Post a Comment